
Mabadiliko ya tabia nchi yanayovyochochea magonjwa ya milipuko
Update: 2025-12-01
Share
Description
Tafiti zimeonesha kuwa magonjwa mengi ya milipuko haswa barani Afrika yanachochewa na mabadiliko ya tabia nchi
Mafuriko ,ukame au kupanda joto yanaweza kusababisha kusambaa kwa haraka kwa vimelea vinavyosababisha magonjwa au kuzaana kwa haraka.
Comments
In Channel



